Somo la maadili linahitajika nchini- Godbless Lema Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema Chadema amesema kuna haja ya kuwa na somo la maadili katika mitaala ya elimu nchini ili kunusuru kizazi ambacho maadili yanazidi kuporomoka. Read more about Somo la maadili linahitajika nchini- Godbless Lema