TFF yabariki Yanga kuendeleza mchakato wa uchaguzi Shirikisho la Soka nchini TFF limeibariki Klabu ya Yanga kuendelea na mchakato wake wa uchaguzi kama ulivyopangwa na klabu hiyo kufanyika Juni 11 waka huu. Read more about TFF yabariki Yanga kuendeleza mchakato wa uchaguzi