Gareth Southgate ambaye kwa sasa ni kocha wa timu ya taifa ya vijana ya Uingereza wenye umri chini ya miaka 21.
Chama cha soka nchini England kinajiandaa kumtangaza Gareth Southgate kuwa kocha wa muda wa timu yake ya taifa katika mwanzo wa kampeni za kuwania kufuzu kombe ka dunia mwaka 2018 nchini Urusi.