Dirisha la usajili ligi kuu kufunguliwa Juni 15 Usajili wa wachezaji kwa vilabu vya Ligi kuu nchini Tanzania unatarajiwa kifunguliwa Juni 15 ikiwa ni kipindi cha uhamisho wa wachezaji utakaokamilika Agosti sita. Read more about Dirisha la usajili ligi kuu kufunguliwa Juni 15