Mikoa ya Nyanda za Juu kuwa na Baridi ya Wastani

Meneja Mkuu wa kitengo cha Utabiri wa TMA ,Samweli Mbuya,Akizyungumza na swaandishi wa Habari(Hawapo Pichani)

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini Tanzania (TMA), imetoa utabiri katika kipindi cha kuanzia mwezi Juni hadi Agosti mwaka huu unaoonyesha kuwa kutakuwa na kiwango cha baridi katika mikoa ya nyanda za juu kusini

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS