Mshambuliaji wa yanga Donald Ngoma (Kushoto) akiwania mpira na mchezaji wa Medeama (Kulia)
Mabingwa wa Soka Tanzania Bara timu ya Yanga leo imelazimishwa sare na medeama Sc ya kutoka Ghana katika mchezo wa wa Kombe la Shirikisho barani Afrika uliopigwa katika dimba la Taifa Dar es salaam.