Eva Carneiro kuuanika ubaya wa Mourinho kortini

Daktari wa zamani wa Chelsea, Eva Carneiro.

Daktari wa zamani wa Chelsea, Eva Carneiro, anatarajiwa kuielezea mahakama ya kazi, jinsi kocha wa zamani wa klabu hiyo Jose Mourinho alivyokuwa akimnyanyasa kijinsia na kumdharau katika kazi ya ndoto zake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS