Wananchi waomba kusaidiwa changamoto za hospitali

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu akikagua neti ya mmoja wa mama aliyejifungua Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara Ligula.

Baadhi ya wananchi mkoani Mtwara, wamewaomba wadau wa maendeleo ikiwa ni pamoja na kampuni za uwekezaji kusaidia kutatua changamoto za miundombinu katika hospitali na vituo vya afya ikiwa ni pamoja na kutoa vitanda kwa ajili ya wagonjwa na wauguzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS