PSG yammwaga rasmi kocha Laurent Blanc

Kocha wa zamani wa PSG Mfaransa Laurent Blanc.

Klabu ya Paris Saint-Germain (PSG) ya Ufaransa imetangaza rasmi kuachana na aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Laurent Blanc ambaye amedumu klabuni hapo katika nafasi hiyo kwa miaka mitatu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS