Nico Rosberg kusalia na Mercedes hadi 2018 Dereva Nico Rosberg katika picha Dereva wa mashindano ya magari Nicco Rosberg amesaini mkataba mpya na timu anayoitumikia ya Marcedes utakaomuweka klabuni hapo mpaka mwaka elfu mbili na kumi na nane. Read more about Nico Rosberg kusalia na Mercedes hadi 2018