PSG yammwaga rasmi kocha Laurent Blanc Kocha wa zamani wa PSG Mfaransa Laurent Blanc. Klabu ya Paris Saint-Germain (PSG) ya Ufaransa imetangaza rasmi kuachana na aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Laurent Blanc ambaye amedumu klabuni hapo katika nafasi hiyo kwa miaka mitatu. Read more about PSG yammwaga rasmi kocha Laurent Blanc