Kocha Roy Hodgson ajiuzulu kuinoa Uingereza Kocha Roy Hodgson akitangaza kujiuzulu mbele ya waandishi wa habari. Kocha Roy Hodgson amejiuzulu kuifundisha timu ya taifa ya Uingereza baada ya kufungwa magoli 2-1 na Iceland na kutolewa nje ya michuano ya Euro 2016. Read more about Kocha Roy Hodgson ajiuzulu kuinoa Uingereza