Nizar, Chuji, Tegete na Razak watemwa Mwadui FC Kocha wa Timu ya Mwadui FC Jamhuri Kihwelo'Julio' Kocha wa Timu ya Mwadui FC Jamhuri Kihwelo Julio amesema, amekamilisha usajili wake kwa kubakiwa na jumla ya wachezaji 23 katika kikosi ili kutoa nafasi za kupata namba kwa wachezaji wake. Read more about Nizar, Chuji, Tegete na Razak watemwa Mwadui FC