Hatukati tamaa kwa matokeo yaliyopita - Cannavaro
Nahodha wa Klabu ya Yanga Nadir Haroub Cannavaro amesema, mchezo wa marudiano dhidi ya Medeama ni mgumu lakini ushindi pia kwa upande wao ni lazima ili kuweza kujiweka katika hali ya usalama katika hatua ya makundi ya kombe la shirikisho barani Afrik

