Watakaoua vyama vya ushirika kufukuzwa kazi-Tizeba

Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Dkt. Charles Tizeba.

Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Dkt. Charles Tizeba, amesema atawafukuza kazi warajisi wa vyama vya ushirika nchini kutokana kushindwa kusimamia vyama hivyo na kusababisha kufilisika na kutowadia wakulima.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS