Hatukati tamaa kwa matokeo yaliyopita - Cannavaro

Nahodha wa Yanga Nadir Haroub 'Cannavaro' (kushoto), beki Andrew Vicent 'Dante' (Katikati) na kulia ni Kiungo mshambuliaji Haruna Niyonzima wakiwa Uwanja wa Ndege jijini Dar es salaam.

Nahodha wa Klabu ya Yanga Nadir Haroub Cannavaro amesema, mchezo wa marudiano dhidi ya Medeama ni mgumu lakini ushindi pia kwa upande wao ni lazima ili kuweza kujiweka katika hali ya usalama katika hatua ya makundi ya kombe la shirikisho barani Afrik

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS