Afariki kwa kuchomwa sindano ya kutoa ujauzito Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Ahmed Msangi Msichana mmoja amefariki dunia baada ya kuchomwa sindano ya kutoa ujauzito na muuzaji wa dawa baridi za binadamu wilayani Kwimba mkoani Mwanza. Read more about Afariki kwa kuchomwa sindano ya kutoa ujauzito