Shindano la Dance100 linalipa- Super Nyamwela

Jaji wa Dance100 Super Nyamwela

Jaji wa miaka mitano tangu shindano la Dance100 lilipoanza mwaka 2012 Super Nyamwela amesema shindano la Dance100 linalipa sana kwa washiriki kwa sababu wengi baada ya ushiriki wameweza kuchukuliwa na bendi mbalimbali pamoja na wasanii binafsi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS