Clinton amteua Tim Kaine kuwa mgombea mwenza

Bi Hillary Clinton (Kushoto) akiwa na Tim Kaine

Mgombea Urais wa Marekani kupitia chama cha Democratic Hillary Clinton amemteuwa Seneta Tim Kaine, kutoka Virginia kuwa mgombea wake mwenza katika uchaguzi mkuu utakaofanyika nchini humo tarehe 8 Novemba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS