Yanga bado inanafasi ya kufanya vizuri - Ulimwengu

Mshambuliaji wa TP Mazembe, Thomas Ulimwengu

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Thomas Ulimwengu ambaye anaitumikia klabu ya TP Mazembe amesema Yanga bado inanafasi ya kuweza kusonga mbele katika hatua ya makundi ya kombe la shirikisho Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS