Manuel Nolito kutua Itihad Stadium.

Manuel Nolito (pichani)akifanya yake akiwa na Celta Vigo katika La Liga

Mshambuliaji Manuel Agudo Durán Nolito anayekipiga na klabu ya Celta Vigo ya Hispania anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya muda wowote kuanzia sasa tayari kwa kukamilisha uhamisho wake wa kutua ndani ya klabu ya Manchester City.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS