Rais Magufuli atuma salam za rambirambi Morogoro

Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amezitumia salamu za pole familia, ndugu, jamaa na marafiki wa watu 12 waliopoteza maisha kufuatia ajali mbili zilizotokea katika eneo moja Dakawa, Tarafa ya Dumila, Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS