Tanzania kufanya tafiti zake za masuala ya afya
Taasisi ya taifa ya magonjwa ya binadamu NIMR kwakushirikiana na tume ya sayansi na technolojia kitengo cha Afya COSTECH na chuo cha afya na sayansi shirikishi cha muhimbili MUHAS zinajipanga kufanya tafiti zake yenyewe ili kuondokana na utegemezi wa

