Magufuli atangaza kuifanyia mabadiliko makubwa CCM
Dkt John Pombe Magufuli,
Mwenyekiti mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye amechaguliwa leo (Julai 23, 2016) Dkt John Pombe Magufuli, leo ametangaza kufanya mageuzi makubwa ndani ya chama hicho chini ya uongozi wake.