Maandalizi Nane Nane Mashariki yaanza Morogoro

Mkuu wa mkoa wa Morogoro Dkt. KEBWE STEVEN KEBWE

Maandalizi ya Maonyesho ya Nane Nane Kanda ya Mashariki, yanaendelea katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere Mkoani Morogoro kwa Shughuli mbalimbali ikiwemo ukarabati wa Miundombinu ya uwanja huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS