Rais Magufuli asisitiza Serikali kuhamia Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo amewaongoza watanzania katika Maadhimisho ya siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa nchini ambayo kitaifa yamefanyika katika mnara wa kumbukumbu wa mashujaa Mkoani Dodoma.
