Townsend aondoka Newcastle Utd baada ya miezi sita

Winga wa Crystal Palace akionyesha jezi yake mpya mara baada ya kusaini mkataba wa miaka mitano na klabu hiyo.

Klabu ya Crystal Palace imekamilisha usajili wa winga Andres Townsend kutoka Newcastle United ambaye amesaini mkataba wa miaka mitano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS