Bunge la 11 mkutano wa 3 limekiuka baadhi ya haki

Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini LHRC Dkt. Hellen Kijo Bisimba akifafanua jambo.

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini LHRC kimesema kikao cha Bunge la 11 mkutano wa 3 kilichoisha tarehe 30.06.2016 kimekuwa na changamoto nyingi sana ambazo zimepeleka watanzania kukosa haki zao za msingi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS