Wanakijiji 752,000 Wamepatiwa Maji nchini Tanzania
Wizara ya Maji na Umwagiliaji nchini Tanzania kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mkoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI, Sekretarieti za Mikoa na Halmashauri za Wilaya mbalimbali zimefanikiwa kuwapatia maji wananchi waishio vijijini

