Arusha 'yaitumbua' SACCOS yake kwa ufisadi

Daudi Ntibanda, Mkuu wa Mkoa wa Arusha

Serikali mkoani Arusha, imeisimamisha kazi bodi ya menejimenti ya chama cha kuweka na kukopa, Kurugenzi Saccos iliyoko chini ya ofisi ya mkuu wa mkoa kwa tuhuma za ufisadi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS