Afisa mwandamizi makao makuu ya Tanesco Leni Kiobya akiwaeleza wandishi wa habari kuhusu wizi wa nyaya za umeme zilizokuwa zinafungwa chini
Watu watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Wilayani Ilemela kwa tuhuma za kujiunganishia umeme kinyemela kwenye nyumba zao kinyume na utaratibu uliowekwa na TANESCO.