FIFA kutoa mafunzo ya juu ya ukocha wa makipa TZ

Kocha wa Makipa wa Yanga Juma Pondamali (Kushoto) akimpa mazoezi aliyekuwa kipa wa timu hiyo Juma Kaseja

Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu FIFA limeipa nafasi Tanzania kuwapa mafunzo ya juu ya ukocha wa makipa (Advanced Goalkeeping Coach Course) ikiandika historia kuwa nchi ya pili barani Afrika kwa makocha wa nafasi hiyo baada ya Botswana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS