Rais Magufuli awataka wafanyakazi ATCL kutubu

Rais Magufuli, Mkewe Mama Janeth Magufuli na baadhi ya maafisa wa serikali katika moja ya ndege zilizozinduliwa leo

Rais Dkt. John Magufuli leo amezindua ndege mbili mpya zilizonunuliwa na serikali nchini Canada aina ya Bombardier Q400 ambazo zina uwezo wa kubeba watu 76 pamoja na mizigo kwa wakati mmoja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS