Rais Magufuli ateua Mwenyekiti wa Bodi NIC Rais Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 02 Oktoba, 2016 amemteua Bw. Laston Thomas Msongole kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Bima la Taifa (NIC). Read more about Rais Magufuli ateua Mwenyekiti wa Bodi NIC