Simba na Yanga zafungiwa kutumia uwanja wa Taifa

Nape Nnauye akiongea na vyombo vya habari katika uwanja wa Taifa

Serikali imezifungia timu za Simba na Yanga kutumia uwanja wa Taifa Dar es Salaam kwa muda usiojulikana kutokana na uharibifu wa miundombinu uliofanywa na mashabiki wa timu hizo katika mchezo wa jana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS