Viwanda vitatu vya mbolea kujengwa nchini Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Dkt Charles Tizeba Serikali kupitia Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi imefanikiwa kuwashawishi wazalishaji wakubwa wa mbolea za viwandani duniani kuja nchini kwa ajili ya kujenga viwanda vyao. Read more about Viwanda vitatu vya mbolea kujengwa nchini