DC Ludewa avunja bodi ya SACCOS kwa ubadhirifu

Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Andrea Tsere akiwa katika kijiji Mbugani kata ya Mavanga wilayani humo

Mkuu wa wilaya ya Ludewa Mkoani Njombe Andrea Tsere, amewaweka ndani Meneja na Mwenyekiti wa bodi ya Saccos ya Mlangali na kuivunja Bodi yake na kutoa siku 30 kwa Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi wa Upotevu wa milioni 114

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS