Majaliwa ataka majina ya wanaodaiwa DUWASA

Waziri Mkuu akisalimiana na watumishi wa Ofisi yake, Makao Makuu Dodoma

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza apatiwe orodha ya wadaiwa sugu wa taasisi zote za Serikali mkoani Dodoma ambao wamelimbikiza deni la sh. bilioni 1.4 zikiwa ni bili zao za maji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS