30 washikiliwa na Polisi kwa mauaji ya watafiti

Kamanda wa Polisi mkoani Dodoma Lazaro Mambosasa

Jeshi la Polisi mkoani Dodoma linawashilia jumla ya watu 30 kwa tuhuma za mauaji ya maafisa watatu wa kituo cha utafiti wa udongo na maendeleo ya ardhi cha Selian kilichopo mkoani Arusha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS