30 washikiliwa na Polisi kwa mauaji ya watafiti Kamanda wa Polisi mkoani Dodoma Lazaro Mambosasa Jeshi la Polisi mkoani Dodoma linawashilia jumla ya watu 30 kwa tuhuma za mauaji ya maafisa watatu wa kituo cha utafiti wa udongo na maendeleo ya ardhi cha Selian kilichopo mkoani Arusha. Read more about 30 washikiliwa na Polisi kwa mauaji ya watafiti