Zuma, Kenyatta kuzungumzia mgogoro wa viza

Rais wa Kenya (Kushoto),Uhuru Kenyatta akisalimiana na Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma

Mgogoro wa viza baina ya Kenya na Afrika Kusini utakuwa ni miongoni mwa ajenda kuu wakati Rais Jacob Zuma anapowasili Jijini Nairobi hii leo kwa ziara ya siku tatu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS