Nchi 4 Afrika zathibitisha kushiriki ngumi Dar

Mabondia wa Tanzania katika mchezo wa ngumi

Mashindano ya Bingwa wa Mabingwa ya mchezo wa Ngumi yanatarajiwa kuanza Desemba tisa mpaka 15 mwaka huu jijini Dar es salaam kwa kushirikisha mabondia mbalimbali ndani na nje ya nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS