Benki ya Barclays yatoa 'shavu' la ajira UDSM

Meneja Masoko kutoka Benki ya Barclays Tanzania Joe Bendera (Kushoto) akijibu maswali ya wanafunzi wa UDSM, akiwa na washiriki wa EATV Awards Racheal Bithulo (Katikati) na Bright (Kulia)

Benki ya Barclays Tanzania leo imetoa mafunzo kwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, yenye lengo la kuwaandaa wanafunzi hao kuingia katika soko la ajira na kukabiliana na tatizo la ajira nchini kupitia kampeni ya 'READY TO WORK'

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS