TFF yakiri kuchezesha mamluki ligi ya vijana Mabingwa wa kwanza wa michuano ya vijana U20, Simba SC wakishangilia Shirikisho la Soka Tanzania limekiri kuwa kuna wachezaji wasio kuwa nasifa kiumri wameshiriki katika ligi ya vijana wenye umri chini ya miaka 20 iliyohitishwa siku ya jana. Read more about TFF yakiri kuchezesha mamluki ligi ya vijana