Sikukuu ya Maulid kuadhimishwa kwa kuchangia damu

Sheikh Abubakar Zubeir - Mufti Mkuu wa Tanzania

Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ally ametangaza siku kuu ya kuzaliwa Mtume Muhamad ya Maulid maarufu kwa jina la Maulid Day, kitaifa itasomwa usiku wa tarehe 11 mwezi wa 12 mwaka 2016 katika Mkoa wa Singida Wilaya ya Iramba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS