Msafara wa mashindano ya ndege 'kuibeba' Tanzania

Philippe Corsaletti (kulia) akionesha maeneo ambako msafara huo utapitia, pembeni yake ni Bw. Raymond Tungaraza

Tanzania itanufaika kwa kutangaza vivutio vyake vya utalii kwenye masoko ya kimataifa baada ya kuteuliwa kuwa moja ya nchi nane barani Afrika, ambazo msafara wa mashindano ya ndege za zamani ujulikanao kama Vintage Air Rally

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS