Majaliwa awavaa waajiri wanaonyanyasa wafanyakazi Waziri Kassim Majaliwa akihutubia mkutano Mkuu wa TUCTA Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali haitawavumilia waajiri ambao hawatoi mikataba ya ajira kwa wafanyakazi wao na amewaonya waache tabia hiyo mara moja. Read more about Majaliwa awavaa waajiri wanaonyanyasa wafanyakazi