Sishindani na mtu kwenye muziki - Alikiba

Alikiba (katikati) baada ya kukabidhiwa tuzo

Nyota wa muziki katika bongo fleva aliyetwaa tuzo 3 ikiwemo ya mwanamuziki bora wa kiume katika tuzo za EATV, Alikiba amesema hashindani na mtu yoyote kwenye muziki, bali anafanya muziki mzuri kulingana na hisia zake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS