Simba isahau kuhusu mwamuzi kutoka nje - TFF
Shirikisho la Soka nchini (TFF) kupitia kamati yake ya waamuzi imesema haiwezekani na haitawezekana kwa mechi yoyote ya ligi kuu Tanzania bara kuchezeshwa na mwamuzi kutoka nje ya nchi kama inavyoombwa na uongozi wa klabu ya Simba.