Waisilamu wapewa somo sikukuu ya Maulid

maulid katika viwanja vya Maisara Unguja

Leo ni siku ya Mapumziko ya Maulid ya kuzaliwa kwa Mtume Mohammad (S.A.W), ambapo waislamu nchini wametakiwa kuzingatia maadili wanapokuwa sehemu zao za kazi ili waweze kutenda haki kwa wananchi bila kujali itikadi zao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS