Simba isahau kuhusu mwamuzi kutoka nje - TFF

Mwamuzi Martin Saanya (Katikati) katika mechi ya Simba na Yanga Oktoba Mosi mwaka huu

Shirikisho la Soka nchini (TFF) kupitia kamati yake ya waamuzi imesema haiwezekani na haitawezekana kwa mechi yoyote ya ligi kuu Tanzania bara kuchezeshwa na mwamuzi kutoka nje ya nchi kama inavyoombwa na uongozi wa klabu ya Simba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS