Wasanii hatupendani-Aisha Bui

Msanii wa bongo movie nchini Aisha Bui amefunguka na kusema kuwa bongo movie haitaweza kuendelea kama wasanii wenyewe hawatapendana na kushirikiana, hivyo itakuwa vigumu sana kufanikiwa katika kazi zao za sanaa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS