Serikali kuzidisha mapambano dhidi ya uhalifu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Watanzania wametakiwa kushirikiana na vyombo vya usalama katika kutoa taarifa juu ya matukio ya kihalifu na yanayohatarisha ya amani ya nchi ili kuendelea kuiweka nchi katika hali ya usalama na amani. Read more about Serikali kuzidisha mapambano dhidi ya uhalifu