Ziara ya Shaka yazua jambo kwenye jimbo la CHADEMA

Kaimu katibu mkuu wa UVCCM taifa Shaka Hamidu Shaka akiwa ananyesha baadhi ya kadi za chadema ambazo zilirudishwa

Ziara ya Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM, Shaka Hamdu Shaka, wilayani Simanjiro, imezua jambo baada ya Mbunge wa Jimbo la Simanjiro, James Ole Millya (Chadema), kuchachamaa akidai amekwenda kinyume na agizo la Rais la kuzuia mikutano ya hadhara ya siasa

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS