Kamati Maalum Kombe la Mapinduzi yatajwa Timu tisa kutoka Uganda, Tanzania Bara na wenyeji Zanzibar zinatarajiwa kushiriki katika Mashindano ya Kombe la Mapinduzi (Mapinduzi Cup) yanayotarajiwa kutimua vumbi kuanzia Desemba 30 mwaka huu. Read more about Kamati Maalum Kombe la Mapinduzi yatajwa