Polisi kukamata wazazi wanaoficha ukatili

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Said Mecky Sadik

Serikali mkoa wa Kilimanjaro imeliagiza Jeshi la Polisi kuwakamata wazazi na walezi watakaobainika kuficha taarifa za matukio ya ukatili wa kijinsia kwa watoto kutokana na uwepo wa ongezeko la matukio hayo kwa imani za kishirikina.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS