Wenye ualbino wapatiwa mafunzo ya ujasiriamali

Vicky Ntetema akiwa amekumbatiana na mmoja wa watu wenye ulemavu wa ngozi nchini hivi karibuni

Shirika linalojihusisha na utetezi kwa watu wenye ulemavu wa ngozi Under The Same Sun, limeendesha mafunzo kwa albino nchini kuhusu jinsi wanavyoweza kukabilana na changamoto katika soko la ajira pamoja na ushiriki wao katika shughuli za ujasiriamali

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS