Sababu mpya ya foleni za barabarani yatajwa

Moja kati ya nyakati za foleni katika barabara za jijini Dar es Salaam

Kamanda wa kikosi cha Usalama Barabarani nchini Mohamed Mpinga, amewataka wananchi kuvumilia hali ya foleni  kubwa inayojitokeza katika barabara za miji mikubwa, ambayo amesema inasababishwa na ongezeko kubwa la magari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS