Wenye nyumba waagizwa kuwa na picha za wapangaji

Baadhi ya wahamiaji haramu waliowahi kukamatwa mkoani Ruvuma

Serikali imewataka wamiliki wa nyumba mkoani Dar es Salaam ambao nyumba zao zina wapangaji, kuhakikisha wanakuwa na picha za wapangaji wao wote ili kuwatambua na kupunguza uwezekano wa kuhifadhi wahalifu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS