Wanahabari Mbeya wapinga hukumu ya mahakama
Chama cha waandishi wa habari mkoani Mbeya (MBPC) kimesema hakijaridhishwa na hukumu iliyomwacha huru dereva Herman Joseph (33) aliyekuwa akiendesha gari iliyowagonga na kuwajeruhi wanahabari watatu waliokuwa njiani kuelekea kazini.
