Nitahakikisha CCM inakuwa ya wanyonge - Polepole

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole akizungumza wakati wa makabidhiano rasmi na Katibu Mwenezi Mstaafu wa CCM, Nape Nnauye (kulia), leo katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam.

Katibu Mpya wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Humphrey Polepole amesema atahakikisha chama hicho hicho kinakuwa ni cha wanyonge na kuendelea kuwa kimbilio la wasio na sauti.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS