Tumechoka kunyanyaswa na Simba - Ndanda FC

Mechi ya mzunguko wa kwanza kati ya Simba na Ndanda katika dimba la Taifa, Ndanda ilichapwa 3-1 na Simba

Benchi la ufundi la klabu ya Ndanda FC limesema kuwa timu hiyo imechoka kunyanyaswa na Simba SC, na sasa imejipanga kuifanyia miujiza katika mchezo wa kwanza wa mzunguko wa pili wa ligi kuu Tanzania Bara utakaopigwa Jumapili, Desemba 18, mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS