RC Singida aondoa zuio la kilimo cha mahindi

Mkuu wa Mkoa wa Singida Mathew Mtigumwe.

Mkuu wa Mkoa wa Singida Mathew Mtigumwe ameondoa zuio la kilimo cha mahindi mkoani Singida liliwekwa miaka kadhaa na aliyekuwa mkuu wa mkoa huo kwenye serikali ya awamu ya nne.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS