RC Singida aondoa zuio la kilimo cha mahindi Mkuu wa Mkoa wa Singida Mathew Mtigumwe. Mkuu wa Mkoa wa Singida Mathew Mtigumwe ameondoa zuio la kilimo cha mahindi mkoani Singida liliwekwa miaka kadhaa na aliyekuwa mkuu wa mkoa huo kwenye serikali ya awamu ya nne. Read more about RC Singida aondoa zuio la kilimo cha mahindi