Daladala Dodoma zagoma kupinga manyanyaso

Baadhi ya daladala katika Stand Mpya ya Jamatini Dodoma

Zaidi ya mabasi 70 ya daladala yanayosafirisha abiria katika baadhi ya njia za manispaa ya Dodoma, yamegoma kutoa huduma kwa siku nzima ya leo kutokana na madai ya kunyanyaswa na askari wa usalama barabarani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS